Shirika la Madaktari Wasio na Mipaka limetangaza kuwa mgogoro wa kibinadamu nchini Lebanon haujaisha hata baada ya mwaka mmoja tangu vita, na zaidi ya watu 82,000 bado ni wakimbizi wa ndani. Ukiukaji unaoendelea wa Israel unazuia watu hawa kurejea makwao.
Marajii Wakuu wa Taqlid katika Ulimwengu wa Kishia, Ayatollah: Sistani, Makarem Shirazi, Nouri Hamedani, Javadi Amoli, Sobhani na Shabiri Zanjani wameshutumu katika taarifa tofauti matamshi ya udhalilishaji ya hivi karibuni ya Rais wa Marekani dhidi ya Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu.