usiounguza

  • Muujiza wa Qur’an kuhusu moto usiounguza

    Muujiza wa Qur’an kuhusu moto usiounguza

    Katika kisa cha Nabii Ibrahim (a.s.), Qur’ani Tukufu inasimulia kuwa alitupwa ndani ya moto ambao haukumchoma. Baadhi ya watu wenye mashaka hudai kuwa jambo hilo haliwezekani, kwa sababu moto kwa kawaida huchoma kila kitu. Hata hivyo, sayansi ya kisasa imegundua aina ya moto unaojulikana kama plasma baridi (cold plasma), ambao hauchomi, bali katika hali fulani unaweza hata kugandisha vitu.