Ayatollah Qassim amegusia pia matamshi ya karibuni ya Benjamin Netanyahu, waziri mkuu wa Israel, pamoja na vita vya kinyama anavyoendeleza kwa msaada wa kimkakati kutoka Marekani.
Husuda ni kutamani neema ya mtu mwingine itoweke, iwe neema hiyo itamfikia mwenye husuda au la. Kinyume cha husuda ni 'Ghibta', ambapo mtu hatamani neema ya mwingine ipotee, bali anatamani kuwa na neema kama hiyo bila kumtakia mwingine mabaya.