Zaidi ya wahamiaji Waislamu milioni 5.5 wanaishi Ujerumani, Uislamu ni Dini ya Pili kwa ukubwa nchini humo, na Waislamu ni takriban 5% ya wakazi wa Ujerumani.
Kulingana na ripoti ya Shirika la Habari la Kimataifa la Ahl al-Bayt (a.s) - ABNA - Jina la Kiislamu "Muhammad" lilikuwa Jina maarufu na lenye kupendwa zaidi kwa watoto wa kiume (wachanga) pindi wanapozaliwa katika Jiji la Berlin, Mji Mkuu wa Ujerumani, katika mwaka wa 2024.
Zaidi ya wahamiaji Waislamu milioni 5.5 wanaishi Ujerumani, Uislamu ni Dini ya Pili kwa ukubwa nchini humo, na Waislamu ni takriban 5% ya wakazi wa Ujerumani.