-
Kiongozi wa Kishia wa Pakistan: Safari ya Rais wa Marekani katika Nchi za Kiarabu ni Dhihaka kwa Mafundisho ya Kiislamu na Heshima ya Kiislamu
Katibu Mkuu wa Wafaq ul-Madaris al-Shia wa Pakistan, Hujjatul Islam Muhammad Afzal Haidari, alielezea masikitiko yake juu ya mapokezi yaliyotolewa na nchi za Kiarabu kwa Rais wa Marekani. Alisema kuwa njia iliyotumika kumkaribisha mtu mwenye kuuhami utawala wa Kizayuni, ni ya aibu na ni dhihaka kwa mafundisho ya Kiislamu na Heshima ya Kiislamu.
-
Mazungumzo ya Kitabligh na yenye tija yamefanyika Nchini Kenya + Picha
Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) - ABNA- Ziara ya Bilal Kenya iliyoongozwa na Sheikh Abdallah Sahafik kutoka Afrika Kusini. Katika ziara hii ya Kitabligh Sheikh Abdallah aliambatana na Sheikh Ali Samojah na Sheikh Juma Shughuli. Masheikh walikutana na Mubaligh wa Bilal Kenya pamoja na Afisa Mtendaji Mkuu. Mazungumzo yenye tija yalifanyika!