ABNA swahili
  • HABARI KAMILI
  • HABARI MUHIMU
  • Iran
  • ASIA
  • ULAYA
  • AMERIKA
  • AFRIKA
  • PICHA
  • MAKALA
العربية English فارسی Türkçe اردو Español bahasa Indonesia हिन्दी français 汉语 русский Deutsch Melayu Hausa বাংলা Азәрбајҹан Азәрбајҹан әлифбасы Kiswahili မြန်မာဘာသာ bosanski português سورانی 日本語 Kurmancî Pilipinas Тоҷик italiano 한국어
×
filterToday News
  • Kiongozi wa Kishia wa Pakistan: Safari ya Rais wa Marekani katika Nchi za Kiarabu ni Dhihaka kwa Mafundisho ya Kiislamu na Heshima ya Kiislamu

    Kiongozi wa Kishia wa Pakistan: Safari ya Rais wa Marekani katika Nchi za Kiarabu ni Dhihaka kwa Mafundisho ya Kiislamu na Heshima ya Kiislamu

    Katibu Mkuu wa Wafaq ul-Madaris al-Shia wa Pakistan, Hujjatul Islam Muhammad Afzal Haidari, alielezea masikitiko yake juu ya mapokezi yaliyotolewa na nchi za Kiarabu kwa Rais wa Marekani. Alisema kuwa njia iliyotumika kumkaribisha mtu mwenye kuuhami utawala wa Kizayuni, ni ya aibu na ni dhihaka kwa mafundisho ya Kiislamu na Heshima ya Kiislamu.

    2025-05-20 00:44
  • Mazungumzo ya Kitabligh na yenye tija yamefanyika Nchini Kenya + Picha

    Mazungumzo ya Kitabligh na yenye tija yamefanyika Nchini Kenya + Picha

    Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) - ABNA- Ziara ya Bilal Kenya iliyoongozwa na Sheikh Abdallah Sahafik kutoka Afrika Kusini. Katika ziara hii ya Kitabligh Sheikh Abdallah aliambatana na Sheikh Ali Samojah na Sheikh Juma Shughuli. Masheikh walikutana na Mubaligh wa Bilal Kenya pamoja na Afisa Mtendaji Mkuu. Mazungumzo yenye tija yalifanyika!

    2025-05-20 00:03
Shirika la Habari la Ahlul-Bayt (a.s); Abna Sauti ya Mashia wasio na Vyombo vya Habari.
Desktop version Mobile version

Nukuu ya "Maudhui" inaruhusiwa bila kutaja chanzo

Nastooh Saba Newsroom