Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran alitangaza kuwa makundi ya kigaidi hayapo tu nchini Afghanistan, bali yameenea katika nchi mbalimbali za eneo hilo. Alisisitiza kuwa kukabiliana na tishio hili kunahitaji ushirikiano wa pamoja wa nchi jirani, hasa Afghanistan.
Wanajeshi wa zamani wa Afghanistan ambao walikuwa wakishirikiana na shirika la ujasusi la Marekani, baada ya miaka mingi ya huduma, sasa wanakabiliwa na matatizo makubwa wakiwa nchini Marekani.