Shirika rasmi la habari la Syria lilichapisha habari hii na kuandika: Chanzo hiki kilisema kuwa katika operesheni hii, watu waliokuwa wakijaribu kutekeleza kitendo hiki kikubwa cha uhalifu kuwalenga watu wa Syria walitiwa mbaroni.

Vyombo vya kijasusi vya Serikali mpya ya Syria vilidai kukwamisha mpango wa ISIS wa kulipua Madhabahu (Haram) ya Hazrat Zainab (s.a).
Shirika rasmi la habari la Syria lilichapisha habari hii na kuandika: Chanzo hiki kilisema kuwa katika operesheni hii, watu waliokuwa wakijaribu kutekeleza kitendo hiki kikubwa cha uhalifu kuwalenga watu wa Syria walitiwa mbaroni.