ABNA swahili
  • HABARI KAMILI
  • HABARI MUHIMU
  • Iran
  • ASIA
  • ULAYA
  • AMERIKA
  • AFRIKA
  • PICHA
  • MAKALA
العربية English فارسی Türkçe اردو Español bahasa Indonesia हिन्दी français 汉语 русский Deutsch Melayu Hausa বাংলা Азәрбајҹан Азәрбајҹан әлифбасы Kiswahili မြန်မာဘာသာ bosanski português سورانی 日本語 Kurmancî Pilipinas Тоҷик italiano 한국어
×
  • Sheikh Dkt. Abdul- Razak Amiri Atoa Kisa Halisi Cha Mwanamke wa Kiislamu aliyedai Talaka kisa Mume Wake Kaoa Mke wa 2, Hatimaye naye akawa Mke wa Pili

    Sheikh Dkt. Abdul- Razak Amiri Atoa Kisa Halisi Cha Mwanamke wa Kiislamu aliyedai Talaka kisa Mume Wake Kaoa Mke wa 2, Hatimaye naye akawa Mke wa Pili

    Ndoa ni heshima, ndoa ni stara ya kijamii, na ndio maana Qur'an Tukufu ikasema: «هُنَّ لِبَاسٌ لَّكُمْ وَأَنتُمْ لِبَاسٌ لَّهُنَّ» kwamba "Mwanamke ni vazi kwa Mwanaume, na Mwanaume ni vazi kwa Mwanamke". Katika kazi za vazi (nguo) ni heshima, kupendeza, kuheshimika, vazi kawaida yake linaleta heshima katika jamii, na Ndoa vile vile inaleta heshima katika Jamii.

    9 Mei 2025 - 01:21
  • Kardinali Robert Prevost Achaguliwa Papa Mpya – Achukua Jina la Leo XIV

    Kardinali Robert Prevost Achaguliwa Papa Mpya – Achukua Jina la Leo XIV

    Katika hotuba yake ya kwanza kwa umma kutoka kwenye roshani ya Basilika ya Mtakatifu Petro, Papa Leo XIV alitoa salamu kwa kusema, "Amani iwe nanyi nyote!" Alisisitiza umuhimu wa umoja, amani, na mazungumzo, akitoa wito kwa Kanisa kuwa daraja linalounganisha watu wote. Alitoa salamu maalum kwa watu wa Peru, akionyesha uhusiano wake wa karibu na nchi hiyo kutokana na huduma yake ya muda mrefu kama mmisionari.

    8 Mei 2025 - 23:34
  • "Ayatollah Ramezani: Chuo cha Dini cha Qom kina uwezo wa kuunda ustaarabu wa Kiislamu / Mapinduzi ya Kiislamu yamebadilisha mlingano wa dunia."

    "Ayatollah Ramezani: Chuo cha Dini cha Qom kina uwezo wa kuunda ustaarabu wa Kiislamu / Mapinduzi ya Kiislamu yamebadilisha mlingano wa dunia."

    Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (a.s) alisema: Leo hii, fursa ya kipekee imepatikana kwa vyuo vya kidini, ambayo haijawahi kushuhudiwa katika vipindi vya nyuma. Tunapaswa kuweza kuitambulisha dini ya Uislamu kwa dunia kwa kutumia lugha na istilahi za kimataifa, na kwa hakika tutafaulu katika njia hii.

    8 Mei 2025 - 17:28
  • Sheikh Dkt. Abdul- Razak Amiri Atoa Kisa Halisi Cha Mwanamke wa Kiislamu aliyedai Talaka kisa Mume Wake Kaoa Mke wa 2, Hatimaye naye akawa Mke wa Pili

    Sheikh Dkt. Abdul- Razak Amiri Atoa Kisa Halisi Cha Mwanamke wa Kiislamu aliyedai Talaka kisa Mume Wake Kaoa Mke wa 2, Hatimaye naye akawa Mke wa Pili

    Ndoa ni heshima, ndoa ni stara ya kijamii, na ndio maana Qur'an Tukufu ikasema: «هُنَّ لِبَاسٌ…

    9 Mei 2025 - 01:21
  • Kardinali Robert Prevost Achaguliwa Papa Mpya – Achukua Jina la Leo XIV

    Kardinali Robert Prevost Achaguliwa Papa Mpya – Achukua Jina la Leo XIV

    Katika hotuba yake ya kwanza kwa umma kutoka kwenye roshani ya Basilika ya Mtakatifu Petro,…

    8 Mei 2025 - 23:34
  • "Ayatollah Ramezani: Chuo cha Dini cha Qom kina uwezo wa kuunda ustaarabu wa Kiislamu / Mapinduzi ya Kiislamu yamebadilisha mlingano wa dunia."

    "Ayatollah Ramezani: Chuo cha Dini cha Qom kina uwezo wa kuunda ustaarabu wa Kiislamu / Mapinduzi ya Kiislamu yamebadilisha mlingano wa dunia."

    Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (a.s) alisema: Leo hii, fursa ya kipekee…

    8 Mei 2025 - 17:28
  • Imam Khamenei: Ustaarabu wa Kiislamu ni kinyume cha ustaarabu wa sasa wa kimaada

    Imam Khamenei: Ustaarabu wa Kiislamu ni kinyume cha ustaarabu wa sasa wa kimaada

    Katika ujumbe wake kwa kongamano la "Miaka 100 wa Kuanzishwa Hauza ya Qum nchini Iran," Kiongozi…

    7 Mei 2025 - 21:36
  • "Video | Hatuwezi kuangalia miili dhaifu ya Watoto wa Gaza na tukabaki kimya"

    "Video | Hatuwezi kuangalia miili dhaifu ya Watoto wa Gaza na tukabaki kimya"

    Shirika la Habari la Kimaitaifa la Ahlul-Bayt (a.s) - ABNA - Muhammad al-Bukheiti, Mjumbe wa…

    7 Mei 2025 - 18:22
  • Ayatollah Khamenei: Jukumu la (Hawza) Chuo cha Kidini ni Kuchora Mipaka Mikuu na Midogo ya Ustaarabu mpya wa Kiislamu

    Ujumbe wa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi kwa mkutano wa kumbukumbu ya miaka mia moja (100) ya kuanzishwa upya kwa Chuo cha Dini cha Qom:

    Ayatollah Khamenei: Jukumu la (Hawza) Chuo cha Kidini ni Kuchora Mipaka Mikuu na Midogo ya Ustaarabu mpya wa Kiislamu

    "Kazi kuu na ya msingi ya Hawza ni (البَلاغُ المُبین‌) kufikisha ujumbe wa dini kwa uwazi…

    7 Mei 2025 - 17:21
  • Kwa mujibu wa Qur'an Tukufu: Kundi la Mwenyezi Mungu, linalomtii Mwenyezi Mungu, Mtume Wake, na waliokuwa Waumini wa kweli, Hao ndio washindi wa kweli

    Kwa mujibu wa Qur'an Tukufu: Kundi la Mwenyezi Mungu, linalomtii Mwenyezi Mungu, Mtume Wake, na waliokuwa Waumini wa kweli, Hao ndio washindi wa kweli

    "Hezbollah" humaanisha: Kundi lililojifunga na miongozo ya Mwenyezi Mungu, linalosimama na…

    6 Mei 2025 - 19:27
  • Kushindwa kwa Wamarekani Mbele ya Msimamo wa Wayemen Katika Kipindi cha Siku 50 / Ansarullah Yabadilisha Mlinganyo wa Dunia kwa Manufaa ya Muqawama

    Kushindwa kwa Wamarekani Mbele ya Msimamo wa Wayemen Katika Kipindi cha Siku 50 / Ansarullah Yabadilisha Mlinganyo wa Dunia kwa Manufaa ya Muqawama

    Katika kipindi cha siku 50 za mapambano ya kistratejia baharini, harakati ya Ansarullah ya…

    6 Mei 2025 - 18:57
  • Hasira za Wafuasi wa Uzayuni Kufuatia Matokeo ya Uchaguzi wa Canada / Mark Carney na Msimamo Wake wa Kizayuni Dhidi ya Palestina

    Hasira za Wafuasi wa Uzayuni Kufuatia Matokeo ya Uchaguzi wa Canada / Mark Carney na Msimamo Wake wa Kizayuni Dhidi ya Palestina

    Matokeo ya uchaguzi wa karibuni nchini Canada yamezua ghadhabu miongoni mwa wafuasi wa utawala…

    6 Mei 2025 - 18:35
  • Onyo Kuhusu Mradi wa "Kuisahau Palestina" – Njama ya Kimataifa kwa Ushirikiano wa Viongozi wa Kiarabu

    Onyo Kuhusu Mradi wa "Kuisahau Palestina" – Njama ya Kimataifa kwa Ushirikiano wa Viongozi wa Kiarabu

    Kiongozi wa Harakati ya Kuamsha Ummah wa al-Mustafa: Kusahau Kadhia ya Palestina ni Njama Hatari…

    6 Mei 2025 - 18:17
  • Kwa nini Mashia wanatoa Salam za Krismasi kwa Wakristo?! | Pata jawabu maridhawa la swali hilo

    Sheikh Hemed Jalala:

    Kwa nini Mashia wanatoa Salam za Krismasi kwa Wakristo?! | Pata jawabu maridhawa la swali hilo

    Katika maisha ya Mtume wetu Muhammad (saww) ambaye ndiye Kiongozi wetu sisi kama Waislamu,…

    6 Mei 2025 - 01:30
  • Mkutano kati ya Mwakilishi wa Al-Mustafa Dar-es-salaam - Tanzania na Mufti Mkuu wa Tanzania

    Mkutano kati ya Mwakilishi wa Al-Mustafa Dar-es-salaam - Tanzania na Mufti Mkuu wa Tanzania

    Mkutano huu ulikuwa hatua muhimu katika kukuza ushirikiano wa kitamaduni na wa kidini kati…

    5 Mei 2025 - 00:55
  • Hadithi za Mtume(saww) ndaniya Nahjul-Balagha zinaonyesha jinsi Imam Ali(as) alivyoendeleza njia ya Mtume(saww) katika Uongozi,UadiIifu Ibada na Siasa

    Hadithi za Mtume(saww) ndaniya Nahjul-Balagha zinaonyesha jinsi Imam Ali(as) alivyoendeleza njia ya Mtume(saww) katika Uongozi,UadiIifu Ibada na Siasa

    Mtume Muhammad (s.a.w.w): “ Yeyote atakayenisingizia mimi uongo kwa makusudi basi ajiandalie…

    4 Mei 2025 - 17:40
  • Nyuma ya Pazia la Uhalifu wa Vyombo vya Habari: Kumvunjia heshima Sayyid wa Mashahidi wa Muqawama kupitia Kituo kimoja cha Televisheni cha Kilebanon

    Nyuma ya Pazia la Uhalifu wa Vyombo vya Habari: Kumvunjia heshima Sayyid wa Mashahidi wa Muqawama kupitia Kituo kimoja cha Televisheni cha Kilebanon

    Hivi karibuni, televisheni ya Al-Jadeed ilirusha ripoti kutoka kwenye Kaburi la Shahidi Sayyid…

    4 Mei 2025 - 16:59
  • Kiongozi wa Mapinduzi: "Hakuna manufaa yoyote kwa Umma wa Kiislamu yaliyo juu ya Umoja"

    Kiongozi wa Mapinduzi: "Hakuna manufaa yoyote kwa Umma wa Kiislamu yaliyo juu ya Umoja"

    Kiongozi Muadham wa Mapinduzi ameeleza katika Mkutano na wahusika wa Hajj na baadhi ya Waumini…

    4 Mei 2025 - 16:21
  • Jamii bora haihitajii watu ambao ni wasomi, bali inahitajia watu walioelimika | "Elimu bila Adabu ni sawa na Upanga Mkali Mikononi mwa Kichaa"

    Jamii bora haihitajii watu ambao ni wasomi, bali inahitajia watu walioelimika | "Elimu bila Adabu ni sawa na Upanga Mkali Mikononi mwa Kichaa"

    Msemo huu: "Elimika Usiwe Msomi" ni wito wa kuhusisha Elimu na Maadili. Elimu ya Kweli huonekana…

    4 Mei 2025 - 13:31
  • Iran yarusha Kombora la Michezo Kenya | Ni katika Kuimarisha Uhusiano Kupitia Michezo – Kati ya Iran na Kenya

    Iran yarusha Kombora la Michezo Kenya | Ni katika Kuimarisha Uhusiano Kupitia Michezo – Kati ya Iran na Kenya

    Akizungumza katika kipindi cha Sports Extravaganza kinachorushwa na TV47 na kuendeshwa na Tony…

    4 Mei 2025 - 00:23
  • Hujjat-ul-Islam Aali: Msaada kwa wengine unarudishwa (unafidiwa) mara nyingi zaidi na Mwenyezi Mungu

    Hujjat-ul-Islam Aali: Msaada kwa wengine unarudishwa (unafidiwa) mara nyingi zaidi na Mwenyezi Mungu

    Mwalimu wa chuo kikuu na shule ya kidini alieleza kuwa kusaidia na kutatua matatizo ya wengine…

    3 Mei 2025 - 17:02
  • Hamas: Gaza Imekingia Katika Njaa Kamili

    Hamas: Gaza Imekingia Katika Njaa Kamili

    Afisa mwandamizi wa Hamas alisema kuwa Gaza rasmi imeingia katika hali ya njaa kamili, akisisitiza…

    2 Mei 2025 - 22:19
  • Ripoti ya Kina ya Mkutano wa 3 wa Kimataifa wa Wanahabari wa AhlulBayt(as)kwa Ushiriki wa Wanahabari kutoka zaidi ya nchi 20 za Afrika +Picha na Video

    Ripoti ya Kina ya Mkutano wa 3 wa Kimataifa wa Wanahabari wa AhlulBayt(as)kwa Ushiriki wa Wanahabari kutoka zaidi ya nchi 20 za Afrika +Picha na Video

    Sambamba na Siku Kumi za Karama (The Ten Days of Karama), Mkutano wa Tatu wa Kimataifa wa 'Waandishi…

    2 Mei 2025 - 03:37
Shirika la Habari la Ahlul-Bayt (a.s); Abna Sauti ya Mashia wasio na Vyombo vya Habari.
Desktop version Mobile version

Nukuu ya "Maudhui" inaruhusiwa bila kutaja chanzo

Nastooh Saba Newsroom