-
Sheikh Dkt. Abdul- Razak Amiri Atoa Kisa Halisi Cha Mwanamke wa Kiislamu aliyedai Talaka kisa Mume Wake Kaoa Mke wa 2, Hatimaye naye akawa Mke wa Pili
Ndoa ni heshima, ndoa ni stara ya kijamii, na ndio maana Qur'an Tukufu ikasema: «هُنَّ لِبَاسٌ…
-
Kardinali Robert Prevost Achaguliwa Papa Mpya – Achukua Jina la Leo XIV
Katika hotuba yake ya kwanza kwa umma kutoka kwenye roshani ya Basilika ya Mtakatifu Petro,…
-
"Ayatollah Ramezani: Chuo cha Dini cha Qom kina uwezo wa kuunda ustaarabu wa Kiislamu / Mapinduzi ya Kiislamu yamebadilisha mlingano wa dunia."
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (a.s) alisema: Leo hii, fursa ya kipekee…
-
Imam Khamenei: Ustaarabu wa Kiislamu ni kinyume cha ustaarabu wa sasa wa kimaada
Katika ujumbe wake kwa kongamano la "Miaka 100 wa Kuanzishwa Hauza ya Qum nchini Iran," Kiongozi…
-
"Video | Hatuwezi kuangalia miili dhaifu ya Watoto wa Gaza na tukabaki kimya"
Shirika la Habari la Kimaitaifa la Ahlul-Bayt (a.s) - ABNA - Muhammad al-Bukheiti, Mjumbe wa…
-
Ujumbe wa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi kwa mkutano wa kumbukumbu ya miaka mia moja (100) ya kuanzishwa upya kwa Chuo cha Dini cha Qom:
Ayatollah Khamenei: Jukumu la (Hawza) Chuo cha Kidini ni Kuchora Mipaka Mikuu na Midogo ya Ustaarabu mpya wa Kiislamu
"Kazi kuu na ya msingi ya Hawza ni (البَلاغُ المُبین) kufikisha ujumbe wa dini kwa uwazi…
-
Kwa mujibu wa Qur'an Tukufu: Kundi la Mwenyezi Mungu, linalomtii Mwenyezi Mungu, Mtume Wake, na waliokuwa Waumini wa kweli, Hao ndio washindi wa kweli
"Hezbollah" humaanisha: Kundi lililojifunga na miongozo ya Mwenyezi Mungu, linalosimama na…
-
Kushindwa kwa Wamarekani Mbele ya Msimamo wa Wayemen Katika Kipindi cha Siku 50 / Ansarullah Yabadilisha Mlinganyo wa Dunia kwa Manufaa ya Muqawama
Katika kipindi cha siku 50 za mapambano ya kistratejia baharini, harakati ya Ansarullah ya…
-
Hasira za Wafuasi wa Uzayuni Kufuatia Matokeo ya Uchaguzi wa Canada / Mark Carney na Msimamo Wake wa Kizayuni Dhidi ya Palestina
Matokeo ya uchaguzi wa karibuni nchini Canada yamezua ghadhabu miongoni mwa wafuasi wa utawala…
-
Onyo Kuhusu Mradi wa "Kuisahau Palestina" – Njama ya Kimataifa kwa Ushirikiano wa Viongozi wa Kiarabu
Kiongozi wa Harakati ya Kuamsha Ummah wa al-Mustafa: Kusahau Kadhia ya Palestina ni Njama Hatari…
-
Sheikh Hemed Jalala:
Kwa nini Mashia wanatoa Salam za Krismasi kwa Wakristo?! | Pata jawabu maridhawa la swali hilo
Katika maisha ya Mtume wetu Muhammad (saww) ambaye ndiye Kiongozi wetu sisi kama Waislamu,…
-
Mkutano kati ya Mwakilishi wa Al-Mustafa Dar-es-salaam - Tanzania na Mufti Mkuu wa Tanzania
Mkutano huu ulikuwa hatua muhimu katika kukuza ushirikiano wa kitamaduni na wa kidini kati…
-
Hadithi za Mtume(saww) ndaniya Nahjul-Balagha zinaonyesha jinsi Imam Ali(as) alivyoendeleza njia ya Mtume(saww) katika Uongozi,UadiIifu Ibada na Siasa
Mtume Muhammad (s.a.w.w): “ Yeyote atakayenisingizia mimi uongo kwa makusudi basi ajiandalie…
-
Nyuma ya Pazia la Uhalifu wa Vyombo vya Habari: Kumvunjia heshima Sayyid wa Mashahidi wa Muqawama kupitia Kituo kimoja cha Televisheni cha Kilebanon
Hivi karibuni, televisheni ya Al-Jadeed ilirusha ripoti kutoka kwenye Kaburi la Shahidi Sayyid…
-
Kiongozi wa Mapinduzi: "Hakuna manufaa yoyote kwa Umma wa Kiislamu yaliyo juu ya Umoja"
Kiongozi Muadham wa Mapinduzi ameeleza katika Mkutano na wahusika wa Hajj na baadhi ya Waumini…
-
Jamii bora haihitajii watu ambao ni wasomi, bali inahitajia watu walioelimika | "Elimu bila Adabu ni sawa na Upanga Mkali Mikononi mwa Kichaa"
Msemo huu: "Elimika Usiwe Msomi" ni wito wa kuhusisha Elimu na Maadili. Elimu ya Kweli huonekana…
-
Iran yarusha Kombora la Michezo Kenya | Ni katika Kuimarisha Uhusiano Kupitia Michezo – Kati ya Iran na Kenya
Akizungumza katika kipindi cha Sports Extravaganza kinachorushwa na TV47 na kuendeshwa na Tony…
-
Hujjat-ul-Islam Aali: Msaada kwa wengine unarudishwa (unafidiwa) mara nyingi zaidi na Mwenyezi Mungu
Mwalimu wa chuo kikuu na shule ya kidini alieleza kuwa kusaidia na kutatua matatizo ya wengine…
-
Hamas: Gaza Imekingia Katika Njaa Kamili
Afisa mwandamizi wa Hamas alisema kuwa Gaza rasmi imeingia katika hali ya njaa kamili, akisisitiza…
-
Ripoti ya Kina ya Mkutano wa 3 wa Kimataifa wa Wanahabari wa AhlulBayt(as)kwa Ushiriki wa Wanahabari kutoka zaidi ya nchi 20 za Afrika +Picha na Video
Sambamba na Siku Kumi za Karama (The Ten Days of Karama), Mkutano wa Tatu wa Kimataifa wa 'Waandishi…