Syria
-
Ndege za kivita za Israel zashambulia Syria
Serikali ya Syria imesema kuwa ndege za kivita za Israel zimeshambulia maeno kadhaa ya mji mkuu wa nchi hiyo Damaskas.
-
Raia wa Ujeruman ahukumiwa kifungo kwa kosa la kujiunga na magaidi wa Daesh + Picha
Raia wa Ujerumani mwenye umri wa miaka 20 leo amehukumiwa kifungo cha miaka 3 na miezi tisa jela baada ya kukiri kujiunga na kundi la kigaidi la Daesh Syria. Kesi hiyo ni ya kwanza kuwahi kufanyika Ujerumani kuhusu Mjerumani
-
Mapambano kati ya jeshi la Lebanon na magaidi mpakani mwa Syria
Kumetokea mapambano makali na kurushiana silaha baina ya jeshi la Lebanon na magaidi wa Jabhatu Nusra.
-
Daesh wanawauza mabint wa Iraq na Syria
Kundi la kigaidi la Daesh linaloendeleza mashambulizi dhidi ya serikali ya Iran na Syria limekuwa linawakamata mabint na kuwauza.
-
Wakurd wa Syria wakabiliana vikali na Daesh
Wapiganaji wa Kikurdi wanakabiliana vikali na magaidi wa Daesh katika mji wa mpakani mwa Syria Kuban.
-
Daesh waendeleza mashambulizi Kaskazin mwa Syria
Magaidi wa Daesh wameendeleza kufanya mashambulizi makali kaskazini mwa Syria.
-
Jeshi la Iraq limekomboa kambi mbili kutoka kwa magaidi wa Daesh
Jeshi la Iraq limefanikiwa kukomboa kambi mbili za kijeshi kutoka katika mikono ya magaidi wa Daesh.