Mamilioni ya raia wa Syria wanateseka chini ya utawala wa al-Jolani kutokana na ukosefu wa dawa na huduma za msingi za afya.
Taarifa hii inakuja siku chache tu baada ya kupatikana kwa kiasi kikubwa cha silaha katika ghala moja ndani ya nyumba iliyoko kusini mwa Libya.