Abu Ali
-
Mazishi ya Kamanda Mwandamizi wa Muqawama wa Lebanon yamefanyika katika eneo la Dhahiya;
"Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Uongozi wa Hizbullah: Kwa kuuawa kwa maagenti wetu, azma yetu inazidi kuwa imara kuliko hapo kabla”
Sheikh Ali Damuush amesema: “Kulegeza msimamo au kukubali mashinikizo na maagizo ya Marekani na Israel hakutaleta matokeo yoyote. Sisi hatutasalimu amri; hata ikiwa maadui wataweka juhudi zao zote kutuangamiza, kamwe hatutaacha njia ya muqawama (mapambano) wala kujitoa katika kuilinda nchi yetu.”
-
Hizbullah Yatangaza Kuuawa Shahidi kwa Kamanda Wake Mwandamizi, Abu Ali Tabatabai
Hizbullah ya Lebanon imetangaza kwamba mmoja wa makamanda wake mashuhuri, Haitham Tabatabai (Abu Ali), ameuliwa shahidi katika shambulio la anga lililofanywa leo na Israel.
-
Kuuawa Kishahidi kwa Abu Ali,Mkuu wa timu ya Ulinzi wa Shahidi Nasrullah, pamoja na «Sayyid Haidar Al-Muwa'li» Naibu wa Kataib Sayyid AlShuhadaa, Iraq
"Kwa Masikitiko, tumepata habari kuwa mmoja wa makamanda wa Kataib Sayyid al_Shuhada, Sayyid Haidar Al-Muwa'li, Naibu wa Abu A'la'i Al-Wila'yi, Katibu Mkuu wa Kataib Sayyid al-Shuhada, amepata kifo cha Kishahidi wakati wa shambulio la utawala wa Kizayuni dhidi ya Iran."