Chaguo la Nyuklia kwa Riyadh: Al-Faisal, alipoulizwa kuhusu uwezekano wa Saudi Arabia kuendeleza uwezo wa nyuklia, alisema: “Hili ni chaguo ambalo Riyadh inapaswa kulichunguza kwa uzito na kwa umakini mkubwa.”
Mnamo mwaka 2021, al-Burhan na msaidizi wake Dagalo walifanya mapinduzi ya kijeshi na kumuondoa madarakani Rais Omar al-Bashir. Miaka miwili baadaye, wawili hao wakageukiana wenyewe kwa wenyewe