Baadhi ya wanaharakati na wafuasi wa Palestina nchini Afrika Kusini wanashona vipande vya kitambaa vyenye rangi za bendera ya Palestina, kuunda kazi ya ishara ya kumbukumbu kwa watoto waliopoteza maisha katika vita vya Ghaza. Kazi hii itafunguliwa rasmi mnamo tarehe 29 Novemba, Siku ya Kimataifa ya Umoja na Palestina.
Amesisitiza kuwa: Serikali na wananchi wa Afrika Kusini wanalaani vitendo vya kinyama vya utawala wa kibaguzi wa Israel dhidi ya wananchi wa eneo la kikanda hususan watu wa Palestina, Lebanon na Iran.
Mandela alisema: Tunaheshimu kumbukumbu ya shujaa huyu na ushujaa wake na tunashukuru uongozi na wanachama wa Hezbollah kwa utetezi wao wa kijasiri wa Msikiti wa Al-Aqsa, watu wa Gaza na upinzani mzima wa Palestina.