Allah
-
Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu:
“Silaha ya Allahu Akbar” italeta uamsho wa Umma wa Kiislamu"
Katika ujumbe wake kwa mnasaba wa msimu wa Hijja ya mwaka 1447 Hijria, Ayatollah Sayyid Mojtaba Hosseini Khamenei amesisitiza kuwa kauli ya “Allahu Akbar” imekuwa silaha ya msingi ya Umma wa Kiislamu katika kupambana na dhulma na ubeberu. Ameeleza kuwa uamsho wa Kiislamu utaendelea kuenea duniani kupitia mshikamano wa Waislamu, huku akisisitiza umuhimu wa kujitenga na Marekani pamoja na utawala wa Kizayuni katika nyanja za kisiasa na kijamii.
-
Mwenyezi Mungu Akiwa Upande Wako, Hakuna Awezaye Kukudhuru
Lengo na makusudio ya kauli hii inayosapoti na Aya hizo Tukufu ni kuondoa hofu moyoni, kwa kutomwogopa yeyote anayenuia kuwa “juu yako” au kukudhuru kwa lolote, kwani Mwenyezi Mungu akiwa pamoja nawe, hakuna mwenye uwezo juu yako isipokuwa kwa idhini Yake.
-
Adabu Muhimu Miongoni mwa Adabu za Kusoma Qur’an Tukufu
Qur’ani si kitabu cha kusomwa kwa macho na kufahamika kwa fikra pekee. Qur’ani ni minong’ono ya Mola kwa nyoyo zilizo na masikio ya roho. Adabu ya tilawa si sura za nje tu; adabu ya kusoma Qur’ani ni kutambua kuwa umeingia katika uwepo wa Allah, na kwamba kila aya ni pumzi kutoka kwa Mola wa walimwengu, na wewe ndiye unayeambiwa.
-
“Nunua Pepo kwa Matendo Haya Machache” – Kwa Mujibu wa Qur’an na Hadithi
Qur’an (Al-Israa: 23): “Na watendee wema wazazi wawili.” Hili ni agizo la moja kwa moja kutoka kwa Allah - ni njia ya hakika ya kuelekea Peponi.