Almanar
-
-
Kituo cha 12 cha Israel: "Hezbollah ina wapiganaji 70,000 na mamia ya makombora, iko tayari kwa makabiliano na Israel"
Usiku uliopita, katika mwendelezo wa ukiukaji wa makubaliano ya kusitisha mapigano kati ya Israel na Lebanon, utawala huo ulianzisha mashambulizi ya anga katika maeneo mbalimbali ya Lebanon.
-
Sheikh Naim Qasim: Baada ya Mashambulizi ya Adui, Hezbollah Ilisimama Imara na Imekuwa Imara Zaidi / Wakati wa Vita Sikukubali Kwenda Iran
Katibu Mkuu wa Hezbollah ya Lebanon, Sheikh Naim Qasim, amesisitiza kwamba ingawa kuna uwezekano wa kutokea kwa vita kati ya Lebanon na Israel, jambo hilo halijathibitishwa, lakini upinzani (muqawama) uko tayari kulilinda taifa la Lebanon hata kama litakabiliwa na hali ya upungufu wa vifaa. Hezbollah Imeimarika Zaidi Baada ya Mashambulizi ya adui.
-
Kiongozi Mwandamizi wa Hezbollah Lebanon: "Kufa ni bora kuliko kukabidhi silaha za upinzani"
Uamuzi wa Serikali unaweza kugeuza tatizo kutoka mapambano kati ya Lebanon na Israel na kuwa mzozo wa ndani.