Amerika
-
Waziri wa Ulinzi wa Pakistan: Osama bin Laden alikuwa zao la Amerika / Ulimwengu wa Kiislamu unapaswa kuunda Muungano sawa na NATO
Waziri wa Ulinzi wa Pakistan alisema: "Shambulio la Israel dhidi ya Qatar lilifanyika kwa ridhaa ya Amerika, na Waislamu wanapaswa kuelewa ukweli huu na kutofautisha kati ya "Marafiki bandia na maadui wa kweli."
-
Makala Maalum | Uso Halisi wa Marekani – Donald Trump Afichua Uso wa Kweli wa Marekani - Sura ya Ubeberu Bila Kivuli!
Donald Trump kama Mwakilishi wa Wazi wa Utawala wa Marekani, Afichua Uso Halisi wa Taifa Hilo Donald Trump, aliyekuwa rais wa Marekani, alijitokeza kama mwakilishi wa bila kificho wa watawala wa Marekani, na kupitia matendo yake, aliweka wazi sura halisi ya historia na utambulisho wa nchi hiyo. Kwa hatua yake ya kubadili jina la "Wizara ya Ulinzi" kuwa "Wizara ya Vita", Trump alifichua ukweli kwamba Marekani haiko tena tayari kujificha nyuma ya maneno ya "ulinzi" na "usalama wa kimataifa". Badala yake, alionyesha kuwa taifa hilo sasa linataka kujenga dunia mpya inayozingatia sheria ya vita, si sheria za haki za binadamu au amani ya kimataifa.
-
Kushindwa kwa Marekani nchini Yemen kumezusha wasiwasi miongoni mwa nchi za Kiarabu. Nini kitatokea ikiwa San'a itakuwa Mamlaka yenye Nguvu Kikanda?
Kwa kuzingatia chaguzi ndogo za Amerika, mashaka yameongezeka miongoni mwa maadui wa Yemen katika nchi za Ghuba ya Uajemi, na hii imefanya kazi ya vyombo vyao vya habari - ambavyo vinaendana kikamilifu na (riwaya) simulizi ya Marekani na Israel - kuwa ngumu; Hadi wanakimbilia kuwatuhumu “Ansarullah” kwa kutumia vita vibaya.