Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Masoud Pezeshkian, ameshiriki ujumbe mtandaoni ukiambatana na picha ya mashabiki wa soka waliokuwa wakifuatilia mechi kati ya Iran na Ubelgiji huku wakiwa wameinua bango lenye maandishi “Ya Hussein (a.s)”.
Kauli hii katika kumsifu na kumsapoti Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatollah Sayyid Ali Khamenei, inatukumbusha kauli maarufu na mashuhuri ya Imam Khomeini (RA) aliposema: "Vita dhidi yetu ni baraka kwetu".