Baqii
-
Maadhimisho ya Kifo cha Bibi Fatima Umm ul-Banin (a.s)
Bibi Ummul-Baneen aliwapenda Ahlul-Bayt wa Mtume kuliko alivyowapenda wanawe mwenyewe. Alipopata habari za huzuni za Karbala, hakumuuliza kwanza kuhusu wanawe wanne, bali alisema: “Nijulisheni kuhusu Hussein.”
-
Uharibifu wa Makaburi ya Jannat al-Baqi‘ - Historia na Umuhimu Wake
Uharibifu wa Jannat al-Baqii umeacha doa lisilofutika katika historia ya Uislamu. Makaburi haya hayakuwa tu sehemu ya kumbukumbu ya kihistoria, bali pia yalikuwa alama ya mapenzi na heshima kwa watu waliotumikia Uislamu kwa ikhlasi na kujitolea. Leo hii, Waislamu kote duniani wanaendelea kuomba urejesheaji Heshima na Staha inayostahili kwa Makaburi haya matukufu.
-
Je, Makaburi ya Baqii yalizingirwa na kuharibiwa (kubomolewa) na kina nani? | Matukio yalivyotendwa katika uharibifu wa Baqii
Mnamo mwaka wa 1220 A.H., Mawahabi waliutwaa mji huo baada ya kuzingirwa kwa mwaka mmoja na nusu na kwa sababu ya njaa huko Madina. [25] Kulingana na vyanzo vilivyopo, baada ya kujisalimisha kwa Madina, Saud bin Abdul Aziz alitaifisha mali yote iliyokuwa kwenye hazina ya Madhabahu ya Mtume na pia akaamuru kuharibiwa kwa majengo na majumba yote ya Madina, pamoja na makaburi ya Baqi.[26]