Gazeti la Washington Post limesema kuwa Mazishi ya Kiongozi Shahidi wa Iran yalishuhudia ushiriki mkubwa wa wananchi, wakiwemo familia zilizofika na watoto wao, huku yakieleza kuwa tukio hilo lilidhihirisha mshikamano wa kitaifa na uthabiti wa wananchi.
Maelfu ya wananchi mjini Mexico City waliungana katika maandamano makubwa yaliyopewa jina “Mexico kwa Palestina”, wakilaani jinai za utawala wa Kizayuni na uungaji mkono wa Marekani, huku wakidai kusitishwa kwa mauaji ya kimbari Gaza na kutumwa haraka kwa misaada ya kibinadamu.