Hivi karibuni kabla ya tarehe 4 Novemba, inayojulikana kama “Siku ya Wanafunzi na Siku ya Kitaifa ya Kupambana na Ukorofi wa Kidunia”, Imam Khamenei, Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, alikutana na wanafunzi wa rika zote, wakiwemo wanafunzi wa vyuo vikuu, pamoja na familia za mashahidi wa Vita vya Siku 12 Vilivyowekezwa"
Mkutano huo uliandaliwa kwa mnasaba wa kuzaliwa kwa Bibi Zainab (a.s), ambapo Nakhai alitoa taarifa kuhusu maendeleo na utekelezaji wa programu mbalimbali za Jumuiya hiyo nchini Lebanon.