Mmoja wa wanazuoni wa Kishia kutoka Pakistan amesisitiza kuwa: Licha ya kuwepo Waislamu zaidi ya bilioni mbili duniani, ummah haujafanikiwa kutekeleza jukumu lile ambalo Qur’an na Sharia zinatarajia kutoka kwake, na hili lenyewe ni ishara ya kushindwa kwa pamoja kwa umma wa Kiislamu.
Afisa mmoja katika Baraza la Mawaziri la Israel alitahadharisha kuwa, kupanuka kwa vita dhidi ya Ukanda wa Gaza kutasababisha hasara ya ziada ya zaidi ya dola bilioni 7.5 katika uchumi wa utawala huohuo ifikapo mwishoni mwa mwaka 2025.