Busara
-
Kauli ya Mwenyekiti wa Jumuiya ya Maridhiano na Amani Tanzania - Sheikh Dkt.Alhad Mussa Salum katika Kumbukizi ya Miaka 64 ya Uhuru wa Tanganyika
Tanganyika ilipata Uhuru kwa njia ya Amani; na sisi leo hii tunalo jukumu la kuuimarisha na kuurithisha kwa vizazi vijavyo. Kwa niaba ya Jumuiya ya Maridhiano na Amani Tanzania, Nawatakia Kumbukumbu Njema ya Miaka 64 ya Uhuru wa Tanganyika. Hongera Tanganyika, Hongera Tanzania! Amani na Maridhiano Daima.
-
Imamu wa Ijumaa wa Michigan:Dunia imejifunza kutokana na uongozi wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi /Ushindi wa kuvutia wa Iran katika vita vya siku 12
Hujjatul-Islam wal-Muslimin Basim Al-Shar’i amesema kuwa hatari kuu kwa Jamhuri ya Kiislamuinatokana na mambo ya ndani, na akaongeza: “Nguvu ya wananchi wa Iran imo katika umoja wao na kushikamana kwao na uongozi wenye busara wa Ayatullah Khamenei. Umoja huu ndio heshima na mtaji halisi wa Jamhuri ya Kiislamu.”
-
Dkt. Pezeshkian katika Mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Ndani wa Oman:
Iran na Oman zimekuwa zikisaidiana daima katika nyakati za mivutano ya eneo
Hamad bin Faisal Al-Busaidi alielezea furaha yake kwa ziara yake nchini Iran na kukutana na Rais Pezeshkian, akisema kuwa uhusiano wa Iran na Oman ni wa kipekee, wa kihistoria, wa kina na wa ukweli, usio na mashaka. yoyote.