Dakika
-
Msemaji wa Jeshi la Iran: Tunaimarisha Uwezo wa Kijeshi Wakati wa Usitishaji Mapigano na Tutajibu Kwa Nguvu Shambulio Lolote
Msemaji wa Jeshi la Iran amesema kuwa vikosi vya nchi hiyo vinatumia kipindi cha usitishaji mapigano kuimarisha uwezo wake wa kivita, akisisitiza kwamba Iran itajibu kwa uthabiti dhidi ya kosa lolote litakalofanywa na adui. Pia alieleza kuwa mzozo kati ya Iran na Israel ni wa kimkakati na wa kuamua mustakabali wa pande hizo mbili.
-
Araghchi Afichua Dakika za Mwisho Kabla ya Shahada ya Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, ameeleza baadhi ya matukio yaliyotokea siku ya shambulio lililosababisha shahada ya Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu, akisema kuwa alikuwa katika ofisi ya kiongozi huyo kwa ajili ya kuwasilisha ripoti ya mazungumzo ya Geneva wakati jengo hilo lilipolengwa.
-
Ripoti ya UNICEF, Sambamba na Siku ya Mtoto Duniani:
Gaza; Ardhi ya Mauaji Yasiyo ya Kawaida dhidi ya Watoto - Kila Dakika 17, Mtoto Huuwawa au Kupoteza Uwezo Fulani wa Mwili
Msemaji wa Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) amesema kuwa, “kila dakika 17 kwa wastani, mtoto mmoja au huuawa au kupoteza uwezo fulani wa mwili,” na kueleza takwimu hizi kuwa “hazikubaliki” na “zinazoshtua.”
-
Chuo Kikuu cha al-Mustafa (s) Dar es Salaam - Tanzania Chaandaa Kongamano la Kielimu Kuhusu: "Dakika za Mwisho za Maisha ya Mtume Muhammad (s.a.w.w)"
Mtoa Mada: Sheikh Taqi Zakariya. Tarehe: Jumamosi, 16-08-2025. Muda: Kuanzia Saa 4:00 Ask Asubuhi hadi 6:00 Mchana. Eneo: Muswalla wa Chuo Kikuu cha Al-Mustafa (s) - Dar-es-salaam. Mwaliko huu ni kwa Wote.