Msemaji wa Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) amesema kuwa, “kila dakika 17 kwa wastani, mtoto mmoja au huuawa au kupoteza uwezo fulani wa mwili,” na kueleza takwimu hizi kuwa “hazikubaliki” na “zinazoshtua.”
Mtoa Mada: Sheikh Taqi Zakariya. Tarehe: Jumamosi, 16-08-2025. Muda: Kuanzia Saa 4:00 Ask Asubuhi hadi 6:00 Mchana. Eneo: Muswalla wa Chuo Kikuu cha Al-Mustafa (s) - Dar-es-salaam. Mwaliko huu ni kwa Wote.