IRAN
-
Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran: Njia ya Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu itaendelea kwa nguvu
Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesisitiza kuwa kuuawa shahidi kwa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Imam Sayyid Ali Khamenei (Quds Sirruh), si mwisho wa safari, bali ni mwanzo wa hatua mpya ya kuendeleza hadhi ya Uislamu na Iran, huku njia na misingi yake ikiendelea kwa nguvu na uthabiti.
-
Makamu wa Rais wa Iran: Tuliyaonya Mataifa Jirani Kuhusu Silaha za Marekani na Tutaendelea Kulinda Maslahi Yetu
Makamu wa Rais wa Iran, Mohammad Reza Aref, amesema Tehran iliziarifu rasmi nchi jirani kuwa silaha zozote za Marekani zitakazoingia Iran kupitia Ardhi zao, Ardhi hizo zitachukuliwa kuwa sehemu ya uwanja halali wa kujilinda wa Iran.
-
Iran Yaionya Marekani, Yakataa Kurudi Kwenye Mazungumzo Huku Mawasiliano Kupitia Wapatanishi Yakiendelea
Mshauri wa kijeshi wa Kiongozi Mkuu wa Iran amesema Marekani itawajibishwa iwapo kutakuwa na tishio lolote dhidi ya Iran, huku ripoti zikieleza kuwa Tehran imekataa kurejea kwenye mazungumzo ya moja kwa moja, ingawa mawasiliano kupitia wapatanishi bado yanaendelea.
-
Chanzo Chafichua Rasimu ya Vipengele 14 vya Makubaliano Yanayodaiwa Kupendekezwa kati ya Iran na Marekani
Chanzo kilicho karibu na timu ya mazungumzo ya Iran kimefichua rasimu ya makubaliano yenye vipengele 14 vinavyohusisha usitishaji wa uhasama, kuondolewa kwa vikwazo, kufunguliwa kwa Mlango wa Hormuz, pamoja na kuachiliwa kwa mabilioni ya dola za mali za Iran zilizogandishwa.