Jarida
-
The Economist: Trump Aweka Rekodi ya Kutopendwa Zaidi katika Historia ya Tafiti za Jarida Hilo
Utafiti wa pamoja wa The Economist na YouGov umeonyesha kuwa umaarufu wa Donald Trump umeendelea kushuka, huku vita dhidi ya Iran na changamoto za uchumi zikitajwa kuwa sababu kuu za kuongezeka kwa upinzani dhidi yake miongoni mwa Wamarekani.
-
Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Minnesota Afichua “Mkakati wa Kipuuzi” wa Marekani dhidi ya Iran
Anakanusha madai ya Tom Barrack kuhusu kuachwa kwa sera ya kuuangusha utawala wa Iran.
-
Onyo la jarida la The National Interest kuhusu kuibuka kwa “Hezbollah Mpya” Katika Eneo
Jarida la Marekani “The National Interest” katika makala yake ya uchambuzi limeonesha shaka kuhusu mafanikio ya mpango wa Donald Trump wa kuleta uthabiti wa kudumu katika Ukanda wa Gaza, na limeonya kuwa mpango huo unaweza kuchangia kuibuka kwa taasisi au kundi jipya linalofanana na Hezbollah katika eneo hilo.
-
Atlantic: Iran Yajenga Njia Mpya na Kuwapita Maadui Zake
Tabia ya ustahimilivu ya Iran na mhimili wa muqawama (mapambano ya upinzani) katika miongo iliyopita imeonyesha kuwa, licha ya mashinikizo na mashambulizi kutoka Marekani na utawala wa Kizayuni, Iran daima imeweza kujirekebisha kimkakati na kupata njia mpya za kukabiliana na changamoto.