Jarida
-
The Atlantic: Trump awalipisha Korea Kusini gharama ya kushindwa kwake dhidi ya Iran
Jarida la The Atlantic limeandika kuwa Donald Trump, badala ya kukubali jukumu la kushindwa katika vita dhidi ya Iran, ameelekeza shinikizo kwa washirika wa Marekani. Jarida hilo linasema Korea Kusini imekuwa miongoni mwa walengwa wa hatua hizo, licha ya kuwepo kwa makumi ya vichwa vya nyuklia vya Korea Kaskazini.
-
The Economist: Trump Aweka Rekodi ya Kutopendwa Zaidi katika Historia ya Tafiti za Jarida Hilo
Utafiti wa pamoja wa The Economist na YouGov umeonyesha kuwa umaarufu wa Donald Trump umeendelea kushuka, huku vita dhidi ya Iran na changamoto za uchumi zikitajwa kuwa sababu kuu za kuongezeka kwa upinzani dhidi yake miongoni mwa Wamarekani.
-
Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Minnesota Afichua “Mkakati wa Kipuuzi” wa Marekani dhidi ya Iran
Anakanusha madai ya Tom Barrack kuhusu kuachwa kwa sera ya kuuangusha utawala wa Iran.
-
Onyo la jarida la The National Interest kuhusu kuibuka kwa “Hezbollah Mpya” Katika Eneo
Jarida la Marekani “The National Interest” katika makala yake ya uchambuzi limeonesha shaka kuhusu mafanikio ya mpango wa Donald Trump wa kuleta uthabiti wa kudumu katika Ukanda wa Gaza, na limeonya kuwa mpango huo unaweza kuchangia kuibuka kwa taasisi au kundi jipya linalofanana na Hezbollah katika eneo hilo.