Jihadi
-
Makamu wa Rais wa Baraza Kuu la Kiislamu la Kishia Lebanon Aikosoa Vikali Serikali ya Nchi Hiyo
Alielekeza maneno yake kwa Rais Joseph Aoun, akisema: "Uliwaambia watu wa Muqawama kuwa waitegemee Serikali – lakini haukusema ni Serikali ipi hiyo? Watu wetu hawako tayari kuwa wahanga wa wauaji ambao watawatendea kama walivyowatendea Wapalestina."
-
Fat'wa Mpya: Kuitetea Palestina na Jihad dhidi ya Utawala wa Kizayuni ni Wajibu Ayn (jambo la faradhi kwa kila Mtu)
Umoja wa Wanazuoni wa Kiislamu Ulimwenguni umetoa Fat'wa kuhusu Wajibu wa Jihadi katika kuunga mkono Ghaza na kusisitiza kuwa, Jihadi dhidi ya utawala wa Kizayuni na mamluki na askari wake wanaohusika na mauaji ya halaiki ya watu wa Ghaza katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu za Palestina ni wajibu mutlaki (unaomgusa kila mtu).
-
Jumuiya ya walimu wa Seminari ya Qom:
Wananchi wa Iran wanapaswa kutangaza utayarifu wao wa kuwasaidia wapiganaji wa Palestina kwa kushiriki katika maandamano ya Siku ya Quds
Katika kizingiti cha Siku ya Quds Duniani, Jumuiya ya Walimu wa Seminari ya Qom imetoa taarifa ikizitaka sehemu zote za Taifa pendwa la Iran kushiriki kikamilifu katika Matembezi ya Amani ya Siku hii ya Quds na kutangaza kwa mara nyingine uungaji mkono wao kwa Muqawamah (Upinzani) wa Kiislamu wa Palestina.