Maafisa wa Marekani wametangaza kuwa jioni ya Jumanne wamemkamata mwanaume mmoja baada ya gari lake kugongana na kizuizi cha usalama kilichoko mbele ya lango la kuingilia Ikulu ya White House.
Katika hafla hii, washairi walitumia lugha ya fasaha na yenye kugusa hisia kueleza hadhi ya mashahidi, wakisoma mashairi yenye maudhui ya hisia, ujasiri na ucha Mungu, ambayo yalionyesha sio tu upendo wa kibinadamu bali pia dhamira ya kijamii, mwamko wa kiutamaduni na mshikamano wa kitaifa.