Mchambuzi wa masuala ya siasa za kimataifa Robert Kagan amesema serikali za nchi za Ghuba ya Uajemi hazina utayari kama zamani wa kuwa wenyeji wa kambi za kijeshi za Marekani, zikieleza kutoridhishwa na kiwango cha ulinzi wa kiusalama kinachotolewa na Washington.
Ushiriki wa Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Kikwete katika majukwaa haya ya kimataifa unaonesha kwa vitendo dhamira yake endelevu ya kuitetea elimu kama nguzo kuu ya maendeleo ya binadamu, sambamba na kuendeleza diplomasia ya elimu kwa manufaa ya mataifa duniani, hususan Afrika.