Wapenzi na wafuasi wa Ahlul-Bayt (a.s) wameadhimisha Eid al-Ghadir katika miji mbalimbali duniani kupitia mikusanyiko ya kidini, mihadhara na shughuli maalumu za kuenzi tukio hilo muhimu katika historia ya Uislamu.
Kiongozi wa Baraza la Maulamaa wa Kishia Pakistan ameeleza kuwa:
> “Hadi pale ambapo suala la Kashmir halitatatuliwa kwa mujibu wa maazimio ya Umoja wa Mataifa, kufanikisha amani ya kudumu katika ukanda huu kutabaki kuwa ni ndoto ya mchana (serabu) tu.”