Wanafunzi wa Hawza ya Hazrat Zainab (as) Kigamboni, wameshiriki katika Khatmu ya Qur'an Tukufu kwa ajili ya kuwaombea Mashahidi wa vita vya Ramadhan, akiwemo Ayatollah Sayyid Ali Hussein Khamenei.
Kikao maalumu cha khatma ya Qur'ani Tukufu kimefanyika katika Ofisi ya Al-Mustafa Zanzibar kwa ushiriki wa walimu na wanafunzi, kwa ajili ya kumuombea rehema Kiongozi Shahidi wa Umma wa Kiislamu, Ayatollah Sayyid Ali Khamenei, pamoja na Mashahidi wote wa Vita vya Ramadhani.