Taasisi na vyuo vinne vilishiriki katika mashindano hayo, ikiwemo Taasisi ya Kimataifa ya Al-Mustafa (s). Wanafunzi wavulana wa Chuo cha Al-Mustafa - Mbezi Beach waliwakilisha taasisi yao kwa umahiri mkubwa na hatimaye wakaibuka washindi wa nafasi ya pili katika mashindano hayo.
Kauli mbiu ya mashindano haya ni:
“Hakika Qur’an ni Muongozo,” ikisisitiza nafasi ya Qur’an katika kuleta maadili, amani, na maendeleo ya kiroho katika jamii.