Gazeti la Washington Post limefichua pazia la uratibu wa siri kati ya Tel Aviv na Washington katika kuendesha vita ya kisiri dhidi ya Iran—vita ambayo kiini chake kimekuwa ni kuwaua wanasayansi wa Iran.
Sherehe ya kifahari ya "Laylat al-Kabirah" ilifanyika nchini Misri kwa kushirikiana na idadi kubwa ya wapenzi wa Ahlul-Bayt (a.s), kuadhimisha kumbukumbu ya kuwasili kwa kichwa cha Imam Hussein (a.s).
Mheshimiwa Ayatollah Khamenei, Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu, usiku huu katika hotuba ya televisheni akiwahutubia watu, aliueleza umoja na mshikamano wa kudumu wa taifa la Iran kuwa ni ngumi ya chuma juu ya kichwa cha adui.