Ubalozi wa Iran nchini Uingereza umejibu upotoshaji wa vyombo vya habari vya Kiingereza kuhusu wakimbizi wa Afghanistan walioko Iran, na umepinga madai ya uongo yaliyotolewa na vyombo hivyo vya habari vya Kiingereza kwamba kuna uwezekano wa kufukuzwa kwa mamia ya maelfu ya wakimbizi wa Afghanistan kwenda katika nchi jirani.
Kwa mujibu wa Sekretarieti ya Kisayansi na Tathmini ya Tamasha, mchakato wa ukusanyaji na uhariri wa juzuu ya kwanza ya kitabu hiki upo katika hatua za mwisho.