Kujisalimisha
-
Mtaalamu wa Marekani: Trump Anajua Mwenyewe Kuwa Iran Haitasalimu Amri
Mchambuzi wa siasa kutoka Chuo Kikuu cha Chicago, Robert Goloty, amesema kuwa hata Donald Trump anatambua kuwa Iran haiwezi kulazimishwa kusalimu amri, na kauli zake kuhusu kujisalimisha kwa Tehran zinaweza kuwa sehemu ya mkakati wa kisiasa wa kupata uungwaji mkono kutoka kwa makundi ya mrengo mkali wa kulia.
-
Financial Times: Trump Akwama Kati ya Kuongeza Vita na Iran au Kukubali Makubaliano
Gazeti la Financial Times linaripoti kuwa Rais wa Marekani Donald Trump anakabiliwa na chaguo gumu kati ya kuongeza mzozo na Iran au kukubali makubaliano yanayozingatia masharti ya Tehran, hali inayoonyesha kupungua kwa nafasi za Washington katika sera yake dhidi ya Iran.
-
Sheikh Naim Qassem: Kujisalimisha si chaguo; Hezbollah ina haki ya kulipiza kisasi kwa shambulio la Dahiyeh
Katibu Mkuu wa Hezbollah, Sheikh Naim Qassem, ameonya kwamba kundi la mapambano lina haki ya kulipiza kisasi kutokana na kuuawa kwa kamanda mwandamizi Haitham Al-Tabtabai, na akasisitiza kuwa kujisalimisha si chaguo kabisa.
-
Ayatollah Ramadhani:
Arubaini ni miongoni mwa matukio muhimu sana yanayotoa mazingira ya ustawi, ukomavu, na maandalizi ya pamoja kwa ajili ya kudhihiri Imam Mahdi(atfs)
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (a.s) alisema: Gharama ya kujisalimisha ni kupoteza utambulisho wa kitaifa, utambulisho wa kidini, utambulisho wa kibinafsi, na hata utu wa kibinadamu. Mwanadamu, hata akilipa gharama ya kusimama imara (kupinga), ni bora kuliko kulipa gharama ya kujisalimisha.