Kulaani
-
Mkutano wa Wanazuoni wa Kiislamu wa Lebanon: Kutukana Qur’ani Tukufu ni kuwashambulia Waislamu wote
Wanazuoni hao walionya kuwa tabia kama hiyo hufungua mlango kwa wenye misimamo mikali wa dini nyingine kushambulia matakatifu ya watu wengine, na hata Huongeza uwezekano wa vitendo vya kulipiza kisasi, jambo ambalo jamii ya Marekani inaweza kuathirika nalo kwa kiwango kikubwa.
-
Ayatollah Jannati:
Kwa Umoja wa Umma wa Kiislamu, Ukatili wa Kizayuni Usingeliwezekana / Uuaji wa Viongozi wa Kiyemen Hautaidhoofisha Imani ya Watu wa Yemen
Ayatollah Jannati alilaani vikali shambulio la kigaidi lililofanywa na utawala haramu wa Kizayuni dhidi ya mji wa Sana'a, Yemen, ambalo lilipelekea kuuawa kwa Waziri Mkuu na mawaziri kadhaa wa serikali ya mapinduzi ya Yemen.
-
Taarifa ya Pamoja ya Nchi 21 za Kiarabu na Kiislamu Kulaani Shambulio la Israel Dhidi ya Iran
Katika taarifa hiyo, nchi hizo zimetilia mkazo umuhimu wa kuondoa silaha za nyuklia na silaha nyingine za maangamizi ya halaiki kutoka katika eneo la Mashariki ya Kati.
-
Mkutano mkubwa katika Seminari ya Qom kufanyika katika kuunga mkono vikosi vya jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran
Mkusanyiko mkubwa wa Seminari (Hawza) ya Qom umelaani utawala haram wa Kizayuni utafanyika katika Seminari ya Faiziyah.