Kulipiza
-
Qalibaf: Kulipiza kisasi kwa Kiongozi wa Mapinduzi ni kuwaweka huru Waislamu kutoka katika dhulma za Marekani na utawala wa Kizayuni
Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Baqer Qalibaf, amesema kuwa njia ya kuenzi urithi wa Kiongozi Shahidi wa Umma wa Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, ni kuendelea kuiunga mkono Kambi ya Muqawama, hususan Lebanon, na kupambana na ubeberu wa Marekani na utawala wa Kizayuni.
-
Vyombo vya Habari vya Kimataifa: Ujumbe wa kuzuia wa Iran kwa Marekani na Israel ni wazi na thabiti
Vyombo vya habari vya kimataifa vinaripoti kuwa ujumbe wa kuzuia wa Iran kwa Marekani na Israel ni wazi na thabiti. Iran ina uwezo wa makombora unaoweza kujibu kila kituo cha kijeshi katika umbali wowote. Pentagon inaweza kufanya mashambulizi madogo, lakini haina maandalizi ya kutosha ya kukabiliana na majibu ya Iran na inahitaji kuimarisha mifumo ya ulinzi katika Mashariki ya Kati.
-
Sheikh Naim Qassem: Kujisalimisha si chaguo; Hezbollah ina haki ya kulipiza kisasi kwa shambulio la Dahiyeh
Katibu Mkuu wa Hezbollah, Sheikh Naim Qassem, ameonya kwamba kundi la mapambano lina haki ya kulipiza kisasi kutokana na kuuawa kwa kamanda mwandamizi Haitham Al-Tabtabai, na akasisitiza kuwa kujisalimisha si chaguo kabisa.