Kiongozi wa Korea Kaskazini, Kim Jong Un, ameagiza nchi yake kuongeza na kuimarisha uwezo wa vikosi vya nyuklia, akisisitiza umuhimu wa kuendelea kuimarisha uwezo wa kujilinda dhidi ya vitisho vya usalama.
Wachambuzi wa kijeshi wanasema lugha iliyotumiwa leo si vitisho vya kawaida, bali ni tamko rasmi kwamba Iran sasa inamiliki silaha “inayovunja mizani ya nguvu”, ambayo inaweza kufichuliwa moja kwa moja katika uwanja wa vita endapo Israel itathubutu kuchukua hatua.
Ngoma za vita zinapigwa… na simba wa Iran ameonyesha meno yake!