Leo
-
Dalili za Anguko la Marekani na Kupanda kwa Nafasi ya Iran Katika Mfumo Mpya wa Dunia
Leo hii, dalili zinaonyesha kuwa Marekani inaelekea kupoteza nafasi yake ya kimataifa na kukaribia anguko kubwa la kisiasa na kiushawishi duniani. Katika mabadiliko ya sasa ya uongozi wa dunia, haionekani tena kuwa na nafasi ile ya kujigamba kama ilivyokuwa hapo awali.
-
Hafla ya Uzinduzi wa "Mausu‘ah ya Maarifa ya Kishia" Yafanyika / Mfumo wa Kimaarifa wa Kuutambulisha Ushia kwa Msingi wa Akili na Uelewa wa Pamoja
Hafla ya Uzinduzi wa “Mausu‘ah ya Maarifa ya Kishia” Yafanyika / Mfumo wa Kimaarifa wa Kuutambulisha Ushia kwa Msingi wa Akili na Uelewa wa Pamoja wa Kibinadamu
-
Haj Mirza Baqer; Mweka Waqfu wa Maukufu Maarufu ya Fatimiyya huko Qom
Miongoni mwa maukufu (mambo yaliyowekwa wakfu) machache ya Qom yaliyosajiliwa kwa nia ya kuadhimisha maombolezo ya Bibi Fatima Zahra (a.s) na ambayo bado yanaendelea kutumika hadi leo, ni maukufu (yaliyowekwa na Haj Mirza Baqer katika miaka ya ishirini ya karne iliyopita.
-
Kiongozi wa Mapinduzi atazungumza na wananchi usiku wa leo
Sambamba na Wiki Takatifu ya Ulinzi (au Wiki ya Utetezi Mtukufu - Sacred Defence), Ayatollah Khamenei atazungumza na Wananchi wa Iran na Ulimwengu mzima Usiku wa leo akidadavua masuala mbalimbali ya kitaifa na kimataifa.