Leo
-
Walioleta Kambi za Marekani Kuzunguka Iran Leo Wanalia: Kwa Nini Iran Inatushambulia?
Kwa miaka mingi, Iran iliwaonya majirani zake wa Kiarabu kuhusu hatari ya kuruhusu Marekani kujenga kambi za kijeshi katika ardhi zao, ikisema uwepo wa majeshi ya kigeni ungeweza kuzifanya nchi hizo kuwa sehemu ya vita dhidi ya Iran. Leo, baada ya kuanza kwa mapambano, kambi hizo zimegeuka kuwa maeneo ya mashambulizi, huku watawala wa Kiarabu wakijikuta wakikabiliwa na matokeo ya maamuzi waliyoyafanya hapo awali.
-
Maqamu ya Tall al-Zaynabiyyah katika Karbala Tukufu Yafunguliwa Rasmi Baada ya Miaka ya Ujenzi
Baada ya miaka kadhaa ya ujenzi na ukarabati, Maqam ya Tall al-Zaynabiyyah katika mji mtukufu wa Karbala imefunguliwa rasmi, na waumini wengi wamepokea kwa furaha kufunguliwa kwa eneo hili lenye umuhimu mkubwa katika historia ya tukio la Ashura.
-
Kwa Mujibu wa ABNA: Iran Yaadhimisha Kumbukumbu ya Shahidi Dkt. Mustafa Chamran
Tarehe 21 Juni ni kumbukumbu ya kuuawa shahidi kwa Dkt. Mustafa Chamran, mwanasiasa, mwanasayansi na kamanda mashuhuri wa kijeshi wa Iran aliyetoa maisha yake wakati wa vita vya Iraq dhidi ya Iran (1980–1988).
-
Ujumbe wa Araghchi kwa Rais wa Lebanon: Iokoe Lebanon Kutoka kwa Adui Wake wa Kweli
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amemtaka Rais wa Lebanon, Joseph Aoun, kuchukua hatua za kuiokoa nchi hiyo kutoka kwa “adui wake wa kweli”, akisisitiza kuwa Iran siyo inayokalia ardhi ya Lebanon, kuwafukuza wananchi wake wala kuishambulia kila siku. Araghchi alieleza kuwa kama Lebanon ingekuwa chombo cha mazungumzo kwa Iran, makubaliano yangekuwa yamefikiwa muda mrefu uliopita.
-
Dalili za Anguko la Marekani na Kupanda kwa Nafasi ya Iran Katika Mfumo Mpya wa Dunia
Leo hii, dalili zinaonyesha kuwa Marekani inaelekea kupoteza nafasi yake ya kimataifa na kukaribia anguko kubwa la kisiasa na kiushawishi duniani. Katika mabadiliko ya sasa ya uongozi wa dunia, haionekani tena kuwa na nafasi ile ya kujigamba kama ilivyokuwa hapo awali.
-
Hafla ya Uzinduzi wa "Mausu‘ah ya Maarifa ya Kishia" Yafanyika / Mfumo wa Kimaarifa wa Kuutambulisha Ushia kwa Msingi wa Akili na Uelewa wa Pamoja
Hafla ya Uzinduzi wa “Mausu‘ah ya Maarifa ya Kishia” Yafanyika / Mfumo wa Kimaarifa wa Kuutambulisha Ushia kwa Msingi wa Akili na Uelewa wa Pamoja wa Kibinadamu
-
Haj Mirza Baqer; Mweka Waqfu wa Maukufu Maarufu ya Fatimiyya huko Qom
Miongoni mwa maukufu (mambo yaliyowekwa wakfu) machache ya Qom yaliyosajiliwa kwa nia ya kuadhimisha maombolezo ya Bibi Fatima Zahra (a.s) na ambayo bado yanaendelea kutumika hadi leo, ni maukufu (yaliyowekwa na Haj Mirza Baqer katika miaka ya ishirini ya karne iliyopita.
-
Kiongozi wa Mapinduzi atazungumza na wananchi usiku wa leo
Sambamba na Wiki Takatifu ya Ulinzi (au Wiki ya Utetezi Mtukufu - Sacred Defence), Ayatollah Khamenei atazungumza na Wananchi wa Iran na Ulimwengu mzima Usiku wa leo akidadavua masuala mbalimbali ya kitaifa na kimataifa.