Rais wa Ufaransa, Emmanuel Macron, amesisitiza kuwa Hezbollah inapaswa kukabidhi silaha zake kwa mamlaka ya Lebanon, huku akitaka pia Israel iondoe vikosi vyake kutoka maeneo ya kusini mwa Lebanon ili kuimarisha amani na utulivu wa kudumu katika eneo hilo.
Mkutano wa Sharm el-Sheikh umehudhuriwa na watu kama Donald Trump, Emmanuel Macron, na viongozi wengine wa Magharibi ambao kwa hakika ni washirika wa mauaji ya halaiki ya Gaza.
Rais wa Ufaransa, Emmanuel Macron, amelaani uamuzi wa Marekani wa kutowapa viza maafisa wa Palestina kwa ajili ya kushiriki katika mikutano ijayo ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, akisema kuwa kitendo hicho hakikubaliki kabisa.