Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amesema ujumbe wa hivi karibuni wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu ni mwongozo muhimu kwa maafisa wote wa sera za nje na utasaidia kulinda heshima ya taifa pamoja na haki za wananchi wa Iran.
Rais Masoud Pezeshkian amesema ujumbe wa hivi karibuni wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu unaweka dira ya mazungumzo yajayo na kuhakikisha maslahi ya taifa la Iran yanalindwa kikamilifu.