Mahitaji
-
UMOJA WA MATAIFA: Nusu ya Wakazi wa Afghanistan Wanahitaji Msaada wa Kibinadamu
Ofisi ya Mratibu wa Misaada ya Kibinadamu ya Umoja wa Mataifa imeonya kuwa mwaka 2026 takribani watu milioni 22 — sawa na asilimia 45 ya watu wa Afghanistan — watahitaji msaada wa dharura wa kibinadamu; huku idadi ya watu wenye uhaba mkali wa chakula ikifikia milioni 17.4 na milioni 5.2 wakiwa katika hatari ya njaa kali.
-
Kikao cha Kamati ya Elimu cha Jamiat Al-Mustafa – Dar es Salaam, Tanzania +Picha
Kikao hiki kimeweka msingi muhimu kwa mustakabali wa elimu na malezi ndani ya Jamiat Al-Mustafa (s) - Dar-es-salaam-Tanzania, huku wajumbe wakiahidi kuendelea kushirikiana kwa karibu katika kuboresha mwelekeo wa kielimu na kijamii kwa manufaa ya wanafunzi na jamii kwa ujumla.
-
Mwakilishi wa Kiongozi Mkuu wa Kidini katika masuala ya Hija na Ziara:
"Kufuata mtindo wa maisha wa Imam Hussein (a.s) ni suluhisho kwa changamoto za jamii ya leo"
Mwakilishi wa Kiongozi Mkuu wa Kidini katika Masuala ya Hija na Ziara, katika hafla ya kufunga tukio la pili la kimataifa la vyombo vya habari “Nahnu Abna’ Al-Husayn (a.s)”, alisisitiza umuhimu wa kunufaika na mtindo wa maisha na mafundisho ya Imam Husayn (a.s) ili kujibu mahitaji ya jamii ya leo.