Mahitaji
-
Trump: Tuna silaha nyingi zaidi kuliko mahitaji yetu
Rais wa Marekani, Donald Trump, amekanusha madai kwamba nchi hiyo inakabiliwa na upungufu wa silaha, akisema kuwa Marekani ina akiba kubwa ya risasi na vifaa vya kijeshi, hata zaidi ya mahitaji yake ya kioperesheni.
-
BEF Yaendeleza Wito wa Uchangiaji Damu Kwa Ajili ya Kuokoa Maisha ya Wengi
BEF imewahimiza wananchi kushiriki katika zoezi la uchangiaji damu litakalofanyika Jumapili, tarehe 2 Agosti 2026, katika Viwanja vya Zakhem, Mbagala, ikisisitiza kuwa tone moja la damu linaweza kuwa chanzo cha uhai na tumaini kwa mtu mwingine.
-
Zaidi ya Raia 30 Wauawa Kufuatia Mashambulizi Kusini mwa Iran, Serikali Yalaani Vikali
Serikali ya Iran imelaani vikali mashambulizi yaliyolenga maeneo ya kusini mwa nchi, yakisababisha vifo vya zaidi ya raia 30, huku ikithibitisha kuwa huduma muhimu na misaada kwa wananchi katika maeneo yaliyoathirika vinaendelea bila kusitishwa.
-
UMOJA WA MATAIFA: Nusu ya Wakazi wa Afghanistan Wanahitaji Msaada wa Kibinadamu
Ofisi ya Mratibu wa Misaada ya Kibinadamu ya Umoja wa Mataifa imeonya kuwa mwaka 2026 takribani watu milioni 22 — sawa na asilimia 45 ya watu wa Afghanistan — watahitaji msaada wa dharura wa kibinadamu; huku idadi ya watu wenye uhaba mkali wa chakula ikifikia milioni 17.4 na milioni 5.2 wakiwa katika hatari ya njaa kali.
-
Kikao cha Kamati ya Elimu cha Jamiat Al-Mustafa – Dar es Salaam, Tanzania +Picha
Kikao hiki kimeweka msingi muhimu kwa mustakabali wa elimu na malezi ndani ya Jamiat Al-Mustafa (s) - Dar-es-salaam-Tanzania, huku wajumbe wakiahidi kuendelea kushirikiana kwa karibu katika kuboresha mwelekeo wa kielimu na kijamii kwa manufaa ya wanafunzi na jamii kwa ujumla.