Waathirika wa mlipuko wa vipiga simu vya pager nchini Lebanon walishiriki katika awamu ya nne ya uchaguzi wa madiwani wa manispaa (na mitaa) katika maeneo ya kusini mwa Lebanon na kuweka kura zao kwenye sanduku la kupigia kura.
Hii ni hatua muhimu ya kushiriki kidemokrasia kwa waathirika hawa ambao wanatumia sauti yao kuleta mabadiliko katika jamii zao.
Ayatollah Khamenei amewaombea Marehemu rehma na msamaha kutoka kwa Mwenyezi Mungu, na amewatakia familia za wahanga subira na utulivu wa moyo. Vilevile, amewaombea majeruhi wapate uponyaji wa haraka.
Gaza ina idadi kubwa zaidi ya watoto waliokatwa viungo vyao katika historia ya kisasa, huku Israel ikizidisha mzozo wa kibinadamu kwa kukiuka usitishaji vita na mzingiro.