Mkuu wa Taasisi ya Kuhifadhi na Kueneza Thamani za Ulinzi Mtakatifu na Mapambano ametoa ujumbe wa rambirambi kufuatia kifo cha Kamanda wa IRGC, Brigedia Sardar Alireza Afshar.
Sheikh Athman Akbar alihimiza jamii ya Kiislamu kuiga nyayo za Imam Sajjad (a.s) kwa kuitumia dua kama silaha ya kiroho, kuimarisha subira katika majaribu, na kusimamia ukweli mbele ya dhulma ili kuendeleza ujumbe wa Karbala katika zama zote.