Financial Times limeonya kuwa hatua yoyote ya kijeshi ya Marekani dhidi ya Iran inaweza kusababisha vifo vya wanajeshi wa Marekani na kuathiri siasa za ndani pamoja na kampeni ya Donald Trump, huku uwezo wa mashambulizi makali ukitajwa kuwa mdogo na wa muda mfupi.
Israel tayari inatambua maana ya Dhulfiqar na imekwisha kuonja makali yake, huku Iran ikiwa imeapa kupigana na Israel vita vya mwisho endapo kutakuwa na shambulizi lolote toka kwa adui.