Marehemu
-
Ujumbe wa rambirambi wa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (a.s) Kufuatia Kifo cha Mwanachuoni wa Afrika Mashariki Sheikh Ali Mayunga
Marehemu alikuwa na mchango mkubwa katika nyanja za kielimu, ikiwemo nafasi yake kama Katibu wa Baraza la Wanazuoni wa Ahlul-Bayt (a.s), na alikuwa miongoni mwa waliotafsiri Qur’an Tukufu kwa lugha ya Kiswahili iliyoitwa Tafsiri Al-Mubin.
-
Luiz Roberto Alves Afariki Dunia; Nguzo ya Elimu ya Umma na Haki ya Kijamii Nchini Brazili
Luiz Roberto Alves, profesa mashuhuri wa Chuo Kikuu cha São Paulo (USP), mwanazuoni wa elimu na mtetezi mahiri wa haki ya kijamii, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 78 katika mji wa São Paulo. Kifo chake kimeacha pengo kubwa katika nyanja ya elimu ya umma, usomeshaji na sera za kijamii nchini Brazili.
-
Haj Mirza Baqer; Mweka Waqfu wa Maukufu Maarufu ya Fatimiyya huko Qom
Miongoni mwa maukufu (mambo yaliyowekwa wakfu) machache ya Qom yaliyosajiliwa kwa nia ya kuadhimisha maombolezo ya Bibi Fatima Zahra (a.s) na ambayo bado yanaendelea kutumika hadi leo, ni maukufu (yaliyowekwa na Haj Mirza Baqer katika miaka ya ishirini ya karne iliyopita.
-
Ujumbe wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu kufuatia tukio la moto katika Bandari ya Shahid Rajaei, Bandar Abbas
Ayatollah Khamenei amewaombea Marehemu rehma na msamaha kutoka kwa Mwenyezi Mungu, na amewatakia familia za wahanga subira na utulivu wa moyo. Vilevile, amewaombea majeruhi wapate uponyaji wa haraka.