Luiz Roberto Alves, profesa mashuhuri wa Chuo Kikuu cha São Paulo (USP), mwanazuoni wa elimu na mtetezi mahiri wa haki ya kijamii, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 78 katika mji wa São Paulo. Kifo chake kimeacha pengo kubwa katika nyanja ya elimu ya umma, usomeshaji na sera za kijamii nchini Brazili.
Miongoni mwa maukufu (mambo yaliyowekwa wakfu) machache ya Qom yaliyosajiliwa kwa nia ya kuadhimisha maombolezo ya Bibi Fatima Zahra (a.s) na ambayo bado yanaendelea kutumika hadi leo, ni maukufu (yaliyowekwa na Haj Mirza Baqer katika miaka ya ishirini ya karne iliyopita.
Ayatollah Khamenei amewaombea Marehemu rehma na msamaha kutoka kwa Mwenyezi Mungu, na amewatakia familia za wahanga subira na utulivu wa moyo. Vilevile, amewaombea majeruhi wapate uponyaji wa haraka.