Misikiti 10 Yenye Maeneo Makubwa Zaidi Duniani (Tanbihi: Ukubwa unakusudiwa ni Eneo zima la Msikiti - Sio Uwezo wa Idadi ya Waumini wanaingia ndani yake, kwa kutizama uwezo Msikiti wa Kwanza uwezo inakuwa ni Masjid Al-Haram, ndio unaongoza kwa kubeba watu wengi zaidi kuliko Misikiti mingine, kwa Mantiki Masjid Imam Reza a.s inakuwa ya Tatu Duniani kwa kutizama uwezo na Ukubwa wa eneo, lakini inakuwa ya kwanza Duniani kwa kutizama Ukubwa wa eneo tu).
Watu wa Khorasan Razavi, hasa kutoka Mashhad, wameonyesha mapenzi na kujitolea kwa kiwango kikubwa kupitia huduma za malazi, chakula, afya, elimu ya kidini, sanaa na hata usafirishaji – wakidhihirisha mshikamano wa kweli wa Waislamu wa madhehebu ya Ahlul-Bayt (a.s) katika harakati ya Arubaini ya Imam Hussein (a.s).