Hujjatul-Islam Muhammad Miyan Abidi Qummi: "Lengo kuu la mashambulio kama haya,” alisema, “ni kudhoofisha harakati ya ulinzi wa wakfu na kunyamazisha sauti ya wanaotetea haki.”
Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imetoa salamu za rambirambi kufuatia tetemeko la ardhi lililosababisha vifo katika mkoa wa Kunar, nchini Afghanistan, na kueleza masikitiko yake makubwa kwa maelfu ya raia waliopoteza maisha au kujeruhiwa.