Imamu Mkuu wa Baghdad alisema kuwa taifa la Iraq leo limekabiliwa na chaguo mbili: ama kukubali serikali dhaifu isiyoweza, ama kwa kushiriki kwa nguvu katika uchaguzi kuharibu mpango wa Marekani.
Waziri Mkuu wa Iraq, akiwaonya kuhusu athari za kususia uchaguzi wa bunge, alisisitiza kuwa kutoshiriki kwa wananchi kutatoa nafasi kwa mafisadi na maadui wa maslahi ya taifa.
Kwa ziara rasmi ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Sudan Kusini nchini Israel, uhusiano wa muda mrefu lakini wa kimya wa mataifa haya mawili umeingia katika hatua mpya.