Meja
-
Kamanda wa Makao Makuu ya Khatam al-Anbiyaa Apongeza Ushiriki Mkubwa wa Wananchi Baada ya Siku 100 za Mshikamano wa Kitaifa
Kamanda wa Makao Makuu ya Khatam al-Anbiyaa (s), Meja Jenerali Abdollahi, amesema ushiriki mkubwa wa wananchi katika kipindi cha siku 100 zilizopita umeonyesha umoja wa kipekee wa taifa la Iran na kuwa sehemu muhimu ya nguvu za kimkakati za kuzuia maadui wa nchi hiyo.
-
"Tetemeko la Vitisho" – Amiri Jeshi Mkuu wa Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Atoa Onyo Kali dhidi ya “Ndoto” za Mashambulizi ya Israel!
Wachambuzi wa kijeshi wanasema lugha iliyotumiwa leo si vitisho vya kawaida, bali ni tamko rasmi kwamba Iran sasa inamiliki silaha “inayovunja mizani ya nguvu”, ambayo inaweza kufichuliwa moja kwa moja katika uwanja wa vita endapo Israel itathubutu kuchukua hatua. Ngoma za vita zinapigwa… na simba wa Iran ameonyesha meno yake!
-
Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC): Tukivamiwa, tutawasha moto wa Jahannam dhidi ya wavamizi
Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC), Meja Jenerali Mohammad Pakpour, katika mazungumzo na Qasim al-A’araji, Mshauri wa Usalama wa Taifa wa Iraq, amesema kuwa: “Katika vita vya siku 12, tulishambulia kwa nguvu na usahihi mkubwa na tuliharibu malengo yote yaliyolengwa.”