Ziara hii ya Mufti Mkuu ni miongoni mwa juhudi endelevu za uongozi wa Kiislamu nchini katika kujenga maadili, amani na mshikamano wa kijamii, sambamba na kutoa wito wa kuzingatia uadilifu na uchamungu katika kila nyanja ya maisha.
Sehemu maalum ya tukio hilo ilizingatia kauli mbiu "Dunia Moja Katika Mikono ya Hussein (as)" kwa kusajili uwepo wa Mazuwari kutoka sehemu mbalimbali za dunia na maonesho ya Bendera za nchi katika matembezi ya Arubaini.