Mheshimiwa
-
Ujumbe wa Araghchi kwa Rais wa Lebanon: Iokoe Lebanon Kutoka kwa Adui Wake wa Kweli
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amemtaka Rais wa Lebanon, Joseph Aoun, kuchukua hatua za kuiokoa nchi hiyo kutoka kwa “adui wake wa kweli”, akisisitiza kuwa Iran siyo inayokalia ardhi ya Lebanon, kuwafukuza wananchi wake wala kuishambulia kila siku. Araghchi alieleza kuwa kama Lebanon ingekuwa chombo cha mazungumzo kwa Iran, makubaliano yangekuwa yamefikiwa muda mrefu uliopita.
-
Mufti Mkuu Sheikh Dkt. Abubakar Zubair akutana na Mkuu wa Mkoa wa Iringa na kujadili kuhusu njia za Kuimarisha Maadili na Ucha Mungu katika Jamii
Ziara hii ya Mufti Mkuu ni miongoni mwa juhudi endelevu za uongozi wa Kiislamu nchini katika kujenga maadili, amani na mshikamano wa kijamii, sambamba na kutoa wito wa kuzingatia uadilifu na uchamungu katika kila nyanja ya maisha.
-
Hafla ya Kuhitimisha tukio la 2 la Vyombo vya Habari, "Sisi ni Watoto wa Hussein(as), "imeanza kwenye Jumuiya Wasaidizi wa Hazrat Imam Mahdi (a.t.f.s)
Sehemu maalum ya tukio hilo ilizingatia kauli mbiu "Dunia Moja Katika Mikono ya Hussein (as)" kwa kusajili uwepo wa Mazuwari kutoka sehemu mbalimbali za dunia na maonesho ya Bendera za nchi katika matembezi ya Arubaini.
-
Kiongozi wa Mapinduzi Aomboleza Kifo cha Hujjatul-Islam Naeim Abadi
Mheshimiwa Ayatollah Khamenei ametuma salamu za rambirambi kufuatia kifo cha mwanazuoni mpiganiaji, Hujjatul-Islam wal-Muslimin Gholamali Naeim Abadi.