Kiongozi wa Haram ya Imam Khomeini (r.a) Asema:
“Yesu (a.s), Mtume Muhammad (s.a.w), Amirul Mu’minin Ali (a.s) na wateule wote wa Mungu ni wenye baraka, kwani hutoa maana katika maisha ya binadamu. Ikiwa Mungu ataondolewa katika maisha ya binadamu, binadamu atageuka kuwa kiumbe mkali na mnyama, hata chini ya kiwango cha wanyama.”
Jumuiya ya Maridhiano na Amani Tanzania tutasimama na Serikali Daima katika kulinda na kudumisha Amani na Maridhiano ya nchi yetu kwa ajili ya Ustawi wa nchi yetu.